• Bembeleza
  • Bado Umenuna
  • Pipi
  • Mwafaka
  • Pii Pii
  • Wewe Na Mimi
  • Bembeleza Remix
  • Sikuachi
  • Busu La Pink
  • Ritah
  • Iache Yenyewe
  • Amini
  • Si Amini
  • Daima Na Milele
  • Rita
  • Peep Peep
  • Pip Pip
  • Bidii
  • Pii Pii (Missing My Baby)
  • Busu La Pinky
  • Beep Beep
  • si mimi
  • Marlaw - Bembeleza
  • Marlaw - Si Mimi
  • daima milele
  • Pee Pee
  • Kama wanipenda
  • sorry sana
  • Kirungu
  • Sorry
  • Peep Peep (Missing my Baby)
  • Pii Pi
  • Mwafaka ft. Baby J.
  • Nataka ft. Happy
  • Marlaw - Rita
  • Peepee
  • Mafungu ft. Dayna
  • Marlaw - BUSU LA PINKY
  • Mbayu Wayu (Prod_By_Lamar_&_Tudd_Thomas)
  • Pipi (Missing My Baby)
  • Pii Pii (Move Out the Way)
  • Pip Pip
  • I'm missing my Baby
  • Pii Pii (Derek's song!)
  • Mpya
  • Nisamehe
  • Lugha za macho
  • Mimi Na Wewe
  • Be happy
  • Iyache Yenyewe

Nipesa simu nibembeleze
Hey Hey hello Ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza

Jinsi gani kukueleza
Au mi sijui bembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitoweza

Kila time nakuangalia usoni ma
Sio kamaa nakosa neno kusema
Ulivyo ma anafanya kosa kunena
Ingawa moyo hautaki kunena tena

Wazo kichwani lina beep (kukueleza)
Ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
Nahisi sijui bembeleza
Utakataa halafu mi utaniumizaa

Kidesign nakuangalia usoni ma
Kuna sign za kuita huko machoni ma
Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
Unachotaka nianze mikusema

Hapa unafanya nijione (nitashinda)
Hapa unafanya nitamke (nakupenda)
Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoni

We Dada mi unaniumiza
We dada sijamaliza
Mbona unakata simu
Please usikate ma

Hey hey hello ma
Laiti ungekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
...

******* This Lyrics is NOT for Commercial use *******
(1409612056681)
Lyrics powered by www.musixmatch.com. This Lyrics is NOT for Commercial use and only 30% of the lyrics are returned.

Copyright © 2019 | Mrtzcmp3