• Bembeleza
  • Bado Umenuna
  • Pipi
  • Mwafaka
  • Pii Pii
  • Wewe Na Mimi
  • Bembeleza Remix
  • Sikuachi
  • Busu La Pink
  • Ritah
  • Iache Yenyewe
  • Amini
  • Si Amini
  • Daima Na Milele
  • Rita
  • Peep Peep
  • Pip Pip
  • Bidii
  • Pii Pii (Missing My Baby)
  • Busu La Pinky
  • Beep Beep
  • si mimi
  • Marlaw - Bembeleza
  • Marlaw - Si Mimi
  • daima milele
  • Pee Pee
  • Kama wanipenda
  • sorry sana
  • Kirungu
  • Sorry
  • Peep Peep (Missing my Baby)
  • Pii Pi
  • Mwafaka ft. Baby J.
  • Nataka ft. Happy
  • Marlaw - Rita
  • Peepee
  • Mafungu ft. Dayna
  • Marlaw - BUSU LA PINKY
  • Mbayu Wayu (Prod_By_Lamar_&_Tudd_Thomas)
  • Pipi (Missing My Baby)
  • Pii Pii (Move Out the Way)
  • Pip Pip
  • I'm missing my Baby
  • Pii Pii (Derek's song!)
  • Mpya
  • Nisamehe
  • Lugha za macho
  • Mimi Na Wewe
  • Be happy
  • Iyache Yenyewe

Ahaa, hey hey
Ahaa, hey hey

Ninataka niwahi kufika,
Njia ina jam sasa wapi ntapita,
Nimekaa karibia saa sita,
Sasa kukaa nimechoka, oh baby,
Sijamuona long time na,
Ndo narudi toka mwezi jana
Nimeshamwambia mama
Nimefika tangu mchana
Anajua nmeshafika, ameshapika, amekasirika
Alipika tangu mchana,
Ila sasa lunch imegeuka dinner,

Nimechoka kupiga honi na; pii pii (hatuelewani)
Nimechoka kupiga honi na; pii pii (hatuelewani)
Pii pii; move out the way,
Nimechoka kupoteza time,
Nina siku nyingi kwenda home,
I am missing ma baby.
Pii pii; hallo baby,
Natamani niwe nyumbani,
Nimekwama hapa njiani,
Kuna jam baby.
Ahaa, kuna jam baby
Ahaa, hallo
Ahaa, hallo
Ahaa, hallo

Unanikatia simu unanionea,
We ungekuwepo ungejionea,
Unafanya hivo, unakosea mama.
Unanikatia simu unanionea,
We ungekuwepo ungejionea,
Unafanya hivo, unakosea mama.
Nakuomba mpenzi ungojee,
Ni njiani, naja, niombee,
Nimechoka na kuja too late,
...

******* This Lyrics is NOT for Commercial use *******
(1409612056681)
Lyrics powered by www.musixmatch.com. This Lyrics is NOT for Commercial use and only 30% of the lyrics are returned.

Copyright © 2019 | Mrtzcmp3